![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/56/Emperor_Gosanj%25C5%258D.jpg/640px-Emperor_Gosanj%25C5%258D.jpg&w=640&q=50)
Go-Sanjo wa Japani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Go-Sanjo (3 Septemba, 1034 – 15 Juni, 1073) alikuwa mfalme mkuu wa 71 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Takahito, na alikuwa mwana wa pili wa Tenno Go-Suzaku. Mwaka wa 1068 alimfuata kaka yake, Tenno Go-Reizei, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu mwaka wa 1073, miezi michache kabla ya kifo chake. Aliyemfuata kama Tenno ni mwana wake, Shirakawa.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/56/Emperor_Gosanj%C5%8D.jpg/640px-Emperor_Gosanj%C5%8D.jpg)