Gladys Lengwe (alizaliwa 6 Februari, 1978), ni mwamuzi wa mpira wa miguu wa kimataifa kutoka nchini Zambia. [1] [2]

Thumb
Gladys Lengwe (kushoto) mnamo 2015

Alikuwa mmoja wa waamuzi katika Kombe la Dunia la FIFA la Wanawake mwaka 2019 nchini Ufaransa. [3] [4]

Marejeo

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.