From Wikipedia, the free encyclopedia
Gerimani ni elementi yenye namba atomia 32 kwenye jedwali la elementi, uzani atomia ni 72,630. Alama yake ni Ge.
Gerimani | |
---|---|
Jina la Elementi | Gerimani |
Alama | Ge |
Namba atomia | 32 |
Mfululizo safu | Simetali |
Uzani atomia | 72.64 |
Valensi | 2 na 4 |
Ugumu (Mohs) | {{{ugumu}}} |
Kiwango cha kuyeyuka | 1211.40 K (938.25 °C) |
Kiwango cha kuchemka | 3106 K (2833 °C) |
Asilimia za ganda la dunia | 6 · 10-4 % |
Hali maada | mango |
Gerimani ni dutu mango na katika mazingira ya kawaida ni metali ngumu yenye rangi ya kifedha-nyeupe. Kiwango chake cha kuyeyuka ni 938.3 C°.
Ilitambuliwa mwaka 1886 na Mjerumani Clemens Winkler aliyebuni jina kwa heshima ya nchi yake ya kuzaliwa (lat. Germania)
Hupatikana mahali pengi ndani ya madini ya shaba na zinki kwa asilimia ndogo haitokei kiasili kama elementi tupu. Huchimbwa hasa China, Urusi, Kanada, Ufini na Marekani. Uzalishaji kwenye mwaka 2011 ilikuwa mnamo tani 100. Takriban theluthi moja ya uzalishaji wake ni kwa njia ya kurejeleza.[1].
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.