From Wikipedia, the free encyclopedia
Galileo ilikuwa kipimaanga kilichorushwa na NASA mwaka 1989 kwa shabaha ya kufanyia utafiti sayari ya Mshtarii (Jupiter) na miezi yake. Iligundua sayari ya Jupita na mwezi wake. Ilifika Mshtarii mnamo 1995.
Sehemu ya kwanza ya kipimaanga ilitengwa kwenye Julai 1995 na kuelekea Mshtarii.[1] Ikafika kwenye Desemba 1995 ikaingia katika angahewa ambako iliweza kukusanya data kwa dakika 57 hadi kuharibika.
Sehemu kuu ikaingia katika obiti ya Mshtarii ikazunguka muda wa miezi 9 ikashuka kwenye angahewa ya sayari ambako iliangamizwa mnamo 21 Septemba 2003. [2]
Jina lilichaguliwa kwa kuheshimu Galileo Galilei, mmoja kati ya wanaastronomia bora wa nyakati zote.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.