From Wikipedia, the free encyclopedia
Erasmo wa Formia (pia: Elmo; alifariki Formia, leo katika mkoa wa Lazio, Italia, 303 hivi) alikuwa askofu aliyeuawa wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian dhidi ya imani hiyo[1][2][3][4].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[5].
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.