![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/9e/Emperor_Go-En%2527y%25C5%25AB_detail.jpg/640px-Emperor_Go-En%2527y%25C5%25AB_detail.jpg&w=640&q=50)
En'yu wa Japani
From Wikipedia, the free encyclopedia
En'yu (12 Aprili, 959 – 1 Machi, 991) alikuwa mfalme mkuu wa 64 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Morihira, na alikuwa mwana wa tano wa Tenno Murakami. Mwaka wa 969 alimfuata kaka yake, Tenno Reizei, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu mwaka wa 984. Aliyemfuata kama Tenno ni mpwa wake, Kazan.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/9e/Emperor_Go-En%27y%C5%AB_detail.jpg/640px-Emperor_Go-En%27y%C5%AB_detail.jpg)