Elamu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Elamu ilikuwa ustaarabu wa kale mashariki mwa Mesopotamia. Elam ilienea katika magharibi na kusini-magharibi mwa Iran ya sasa, pamoja na sehemu ndogo ya kusini mwa Iraki. [1]
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/1/12/Elam_Map.jpg)
Mji muhimu zaidi ulikuwa Shushani; kwa karne kadhaa mji mkuu ulikuwa Dur-Untash kilomita 40 kusini mwa Shushani.