Eastleigh
From Wikipedia, the free encyclopedia
Eastleigh ni jina la
- Eastleigh (Uingereza) ni mji wa Uingereza wa kusini karibu na Southampton katika wilaya ya Hampshire
Kutokana na mji huu ni jina la maeneo yaliyowahi kutawaliwa na Uingereza katika sehemu mbalimbali ya dunia:
- Eastleigh (Nairobi) ni mtaa au eneo la mji mkuu wa Kenya inayopakana na mitaa ya Pangani pia Mathare Valley
- Eastleigh (Edenvale) ni mtaa wa mji wa Edenvale katika jimbo la Gauteng, Afrika Kusini
Jina limetokana na maneno "east" = mashariki na "leigh" kutokana na Kiingereza ya Kale "leah" / "legh" yaani aina ya mti.
![]() |
Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana
Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja. |