Dorotheo wa Gaza
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Dorotheo wa Gaza (Antiokia wa Syria, leo nchini Uturuki, 505 - Gaza, Palestina, 565) alikuwa mmonaki na mwandishi wa Kikristo.
Baada ya kusoma sana, mwaka 525 hivi aliamua kutawa.
Kisha kupata malezi kutoka kwa Yohane Nabii na Barsanufi wa Gaza, alianzisha monasteri mpya alipoishi hadi kifo chake, kati ya miaka 560 na 580.
Kati ya wanafunzi wake, maarufu zaidi ni Dositeo wa Gaza.
Aliacha maandishi mengi ya kiroho yanayoendelea kuzingatiwa sana hasa katika Ukristo wa Mashariki.
Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.