Devanagari
From Wikipedia, the free encyclopedia
Devanāgarī ni mwandiko unaotumiwa kwa kuandika lugha za Uhindi Kaskazini kama vile Sanskrit, Kibangla, Kihindi, Kimarathi, Kisindhi, Kibihari, Bhili au Kinepali cha Nepal. Wakati mwingine hata Kikashmiri huandikwa nayo.
Devanagari huhesabiwa kati ya miandiko ya Abugida inayounganisha alama kwa herufi na alama kwa silabi. Mwandiko mtangulizi wake ulikuwa mwandiko wa Brahmi.