![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/6f/Flag_of_the_Democratic_Republic_of_the_Congo.svg/langsw-640px-Flag_of_the_Democratic_Republic_of_the_Congo.svg.png&w=640&q=50)
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Nchi ya Afrika ya Kati / From Wikipedia, the free encyclopedia
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (au Kongo-Kinshasa) ni nchi iliyoko Afrika ya Kati; kwa ukubwa wa eneo ni ya pili barani Afrika. Ni tofauti na nchi jirani ya Jamhuri ya Kongo.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b9/Congo_Rep_Dem_carte.gif/320px-Congo_Rep_Dem_carte.gif)
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Justice - Paix - Travail (Kifaransa: "Haki - Amani - Kazi") | |||||
Wimbo wa taifa: Debout Congolais | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Kinshasa 4°24′ S 15°24′ E | ||||
Mji mkubwa nchini | Kinshasa | ||||
Lugha rasmi | Kifaransa (Kilingala, Kikongo, Kiswahili, Kiluba ni lugha ya taifa) | ||||
Serikali • Rais |
Serikali ya mseto Félix Tshisekedi (2019-) | ||||
Uhuru - Tarehe |
Kutoka Ubelgiji 30 Juni 1960 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
2,345,409 km² (11th) 4.3% | ||||
Idadi ya watu - 2019 kadirio - 1938 sensa - Msongamano wa watu |
91 931 000 (16th) 10,217,408 39.19/km² (182nd) | ||||
Fedha | Congolese franc (CDF ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
CET, EET (UTC+1 na +2) - (UTC+1 na +2) | ||||
Intaneti TLD | .cd | ||||
Kodi ya simu | +243
- |
Funga