![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b9/LK-Colombo-altes-parlament.jpg/640px-LK-Colombo-altes-parlament.jpg&w=640&q=50)
Colombo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Colombo ni mji mkubwa wa Sri Lanka wenye wakazi 647,100 (2001).[1] Ilikuwa mji mkuu wa nchi hii tangu mwaka 1814 mpaka mwaka 1978.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b9/LK-Colombo-altes-parlament.jpg/640px-LK-Colombo-altes-parlament.jpg)
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Colombo | |
Mahali pa mji wa Colombo katika Sri Lanka |
|
Majiranukta: 6°56′04″N 79°50′34″E | |
Nchi | Sri Lanka |
---|---|
Mkoa | Sri Lanka Magharibi |
Wilaya | Wilaya ya Colombo |
Idadi ya wakazi (2001) | |
- Wakazi kwa ujumla | 647,100 |
Tovuti: www.cmc.lk |
Funga
Asili ya jina ni neno la Kisinhala "Kolamba" linalomaanisha bandari.