Chomboanga
From Wikipedia, the free encyclopedia
Chomboanga ni chombo cha usafiri chochote kinachoruka juu ya ardhi katika angahewa ya dunia yetu.[1][2][3][4] Vyombo vinvyopita kimo cha kilomita 100 juu ya ardhi huhesabiwa kati ya vyombo vya angani la nje.
Vyomboanga hupatikana kwa namna mbili: