![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/e/ea/Tringa_nebularia0.jpg/640px-Tringa_nebularia0.jpg&w=640&q=50)
Chamchanga
From Wikipedia, the free encyclopedia
Chamchanga ni ndege wa jenasi mbalimbali katika familia ya Scolopacidae. Chamchanga tumbo-jeupe huitwa kiulimazi kwa kawaida. Ndege hawa ni weusi au kahawia na weupe, na wana domo refu na miguu mirefu na myembamba. Huonekana kandi ya bahari, viziwa au mito ambapo hukamata wadudu, gegereka hata samaki wadogo. Hutaga mayai 3-5 ardhini mahali majimaji.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Chamchanga | ||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Chamchanga miguu-kijani | ||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||
| ||||||||||||
Funga