Bratislava
From Wikipedia, the free encyclopedia
Bratislava ni mji mkuu wa Slovakia wenye wakazi 450,000. Majina mengine ya kihistoria ya mji huu yalikuwa Pressburg (kwa Kijerumani) au Pozsony (kwa Kihungaria). Uko kando Ya mto Danubi.
Ishara ya mji ni boma la Bratislava lililosimama tangu karne za kati.