![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/de/Flag_of_Bolivia_%2528state%2529.svg/langsw-640px-Flag_of_Bolivia_%2528state%2529.svg.png&w=640&q=50)
Bolivia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Bolivia (jina linatokana na shujaa Simon Bolivar) ni nchi isiyo na mwambao wa bahari katika Amerika Kusini.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Kihispania: ¡Morir antes que esclavos vivir! ("Heri kufa kuliko kuishi kama watumwa") | |||||
Wimbo wa taifa: Bolivianos, el hado propicio | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Sucre 16°29′ S 68°8′ W | ||||
Mji mkubwa nchini | Santa Cruz | ||||
Lugha rasmi | Kihispania, Kiguarani, Kiquechua, Kiaymara | ||||
Serikali Rais |
Jamhuri Luis Arce | ||||
Uhuru Kutoka Hispania |
6 Agosti 1825 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
1,098,581 km² (ya 28) 1.29% | ||||
Idadi ya watu - 25 Machi 2014 kadirio - 2001 sensa - Msongamano wa watu |
10,556,102 (ya 83) 8,280,184 9/km² (ya 221) | ||||
Fedha | Boliviano (BOB ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
— (UTC-4) — (UTC?) | ||||
Intaneti TLD | .bo | ||||
Kodi ya simu | +591
- |
Funga
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/82/Bl-map.png/320px-Bl-map.png)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/4a/Central_La_Paz_Bolivia.jpg/320px-Central_La_Paz_Bolivia.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/ce/Salar_de_Uyuni%2C_Bolivia2.jpg/640px-Salar_de_Uyuni%2C_Bolivia2.jpg)