From Wikipedia, the free encyclopedia
Biram Ould Dah Ould Abeid, (alizaliwa 12 Januari 1965) ni mwanasiasa wa Mauritania na mtetezi wa kukomeshwa kwa utumwa. Aliorodheshwa kama mmoja wa "Watu 10 Waliobadilisha Ulimwengu Ambao Huenda Hujasikia" na PeaceLinkLive mnamo 2014, na jarida la Time kama mmoja wa Watu 100 Wenye Ushawishi Zaidi".Pia ameitwa "Nelson Mandela wa Mauritania" na shirika la habari la mtandaoni Middleeasteye.net. [1][2][3][4][5]
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.