Benedikto Biscop
From Wikipedia, the free encyclopedia
Benedikto Biscop[1] (628 hivi – 12 Januari 690), alikuwa mmonaki msomi wa Uingereza aliyeanzisha monasteri ya Monkwearmouth-Jarrow na maktaba yake maarufu[2]. Ndipo alipofariki baada ya kulala miaka 3 mfululizo kutokana na ugonjwa.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.