![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d4/Flag_of_Zanzibar.svg/langsw-640px-Flag_of_Zanzibar.svg.png&w=640&q=50)
Bendera ya Zanzibar
From Wikipedia, the free encyclopedia
Zanzibar ilhali ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilipata tena bendera ya pekee tangu Januari 2005. Inaunganisha bendera ya Tanzania na ile ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ya mwaka 1964 iliyotumika kati ya mapinduzi ya Januari na muungano ya Zanzibar na Tanganyika wa tarehe 26 Aprili 1964.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d4/Flag_of_Zanzibar.svg/320px-Flag_of_Zanzibar.svg.png)
(tangu Januari 2005)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/7d/Flag_of_Zanzibar_%28January-April_1964%29.svg/640px-Flag_of_Zanzibar_%28January-April_1964%29.svg.png)
baada ya mapinduzi hadi muungano na Tanganyika
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c4/Flag_of_the_Sultanate_of_Zanzibar_%281963%29.svg/320px-Flag_of_the_Sultanate_of_Zanzibar_%281963%29.svg.png)
Desemba 1963 hadi Januari 1964
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/6e/Flag_of_Sansibar_%281861-1963%29.svg/320px-Flag_of_Sansibar_%281861-1963%29.svg.png)
Bendera ya kale, nyekundu sawa na ile ya Omani wakati ule. Kiasili ni bendera ya Sharifa wa Maka