Amani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Amani ni hali ya raha na salama bila ugomvi; ni kinyume cha fujo au vita.
Mara nyingi hali za amani ya nje na amani ya ndani hutofautishwa.
Amani ni hali ya raha na salama bila ugomvi; ni kinyume cha fujo au vita.
Mara nyingi hali za amani ya nje na amani ya ndani hutofautishwa.