![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/80/Allen_Johnson_2007.jpg/640px-Allen_Johnson_2007.jpg&w=640&q=50)
Allen Johnson
From Wikipedia, the free encyclopedia
Allen Kenneth Johnson (alizaliwa 1 Machi 1971) ni mwanariadha wa mbio za kuruka viunzi aliyeshinda medali ya dhahabu katika mbio ya 110m na urukaji viunzi katika michezo ya Olimpiki ya 1996,Atlanta,Georgia.
Ukweli wa haraka Rekodi za medali, Riadha ya Wanaume ...
Rekodi za medali | ||
---|---|---|
![]() Johnson katika mbio ya 2007 ISTAF Berlin | ||
Riadha ya Wanaume | ||
Anawakilisha nchi Marekani ![]() | ||
Michezo ya Olimpiki | ||
Dhahabu | 1996 Atlanta | 110 m urukaji viunzi |
Mashindano ya Mabingwa wa Dunia ya IAAF | ||
Dhahabu | 1995 Gothenburg | 110 m urukaji viunzi |
Dhahabu | 1997 Athens | 110 m urukaji viunzi |
Dhahabu | 2001 Edmonton | 110 m urukaji viunzi |
Dhahabu | 2003 Paris | 110 m urukaji viunzi |
Medali ya Shaba | 2005 Helsinki | 110 m urukaji viunzi |
Mashindano ya Mabingwa ya Ndani ya Ukumbi | ||
Dhahabu | 1995 Barcelona | 60 m urukaji viunzi |
Dhahabu | 2003 Birmingham | 60 m urukaji viunzi |
Dhahabu | 2004 Budapest | 60 m urukaji viunzi |
Fedha | 2008 Valencia | 60 m urukaji viunzi |
Funga
Aliyezaliwa mjini Washington D.C.,ni mwanamichezo bora na alisoma katika Chuo Kikuu cha Carolina Kaskazini alipofuzu katika michezo mbalimbali.