![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/dd/Ahmedabad_montage_new1.png/640px-Ahmedabad_montage_new1.png&w=640&q=50)
Ahmedabad
From Wikipedia, the free encyclopedia
Ahmedabad ni jiji kubwa katika jimbo la Gujarat kwenye magharibi ya Uhindi, pia ni makao makuu ya mkoa wa Ahmedabad. Ilikuwa mji mkuu wa Gujarat tangu mwaka 1960 hadi 1970.[1] Jiji liko kwenye ufuko wa mto Sabarmati[2]n a kupakana na mji mkuu mpya Gandhinagar.
Ukweli wa haraka
Nchi | Uhindi |
Jimbo / Mkoa | Gujarat |
Anwani ya kijiografia | 23.03,72.58 |
Kimo | mita 53 |
Eneo | 8,087 km2 |
Wakazi | 7,486,573 (2,014) |
Msongamano wa watu | 12,000/km2 |
Simu | 079 |
Funga
Eneo la jiji ni kama km28,087 na mkoa wote una wakazi 7,486,573 (2014), ilhali mji wenyewe una wakazi 6,357,693.[3]