mwezi wa nane katika mwaka From Wikipedia, the free encyclopedia
Mwezi wa Agosti ni mwezi wa nane katika Kalenda ya Gregori. Jina lake limetokana na jina la Kaisari Augustus wa Warumi. Kwa asili, mwezi huo wa Agosti ulikuwa mwezi wa sita katika kalenda ya Warumi, na jina lake lilikuwa Sextilis kulingana na neno la Kilatini sextus, maana yake ni "wa sita". Mwaka wa 153 KK, mwanzo wa mwaka ulitanguliza miezi miwili kutoka Machi kwenda Januari, na maana ya jina Sextilis ilipotea.
Jul - Agosti - Sep | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Agosti ina siku 31, na katika mwaka mrefu (wenye siku 366), inaanza na siku ya juma sawa na mwezi wa Februari.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.