Ada (lugha ya programu)
lugha ya programu / From Wikipedia, the free encyclopedia
Ada ni lugha ya programu. Iliundwa na Jean Ichbiah na CII Honeywell Bull na ilianzishwa tarehe 1 Februari 1980. Iliundwa ili kuumba programu na kurahisisha kujifunza lugha za programu. Leo tunatumia Ada 2012: Tucker Taft. Ilivutwa na Pascal.
Ukweli wa haraka Shina la studio, Imeanzishwa ...
Ada | |
---|---|
Shina la studio | namna : namna nyingi
inaozingatiwa kuhusu kipengee |
Imeanzishwa | Februari 1 1980 (1980-02-01) (umri 42) |
Mwanzilishi | Jean Ichbiah na CII Honeywell Bull |
Ilivyo sasa | Ilivutwa na: ALGOL 68, Pascal, C++ (Ada 95), Smalltalk (Ada 95), Modula-2 (Ada 95) Java (Ada 2005), Eiffel (Ada 2012)
Ilivuta: C++, Chapel, "Drago"., Eiffel, "Griffin"., Java, Nim, ParaSail, PL/SQL, PL/pgSQL, Ruby, Seed7, "SPARforte"., Sparkel, SQL/PSM, VHDL |
Mahala | CII Honeywell Bull |
Tovuti | https://www.adaic.org |
Funga
Inaitwa Ada kwa heshima ya Ada Lovelace ambaye alikuwa mwanaprogramu wa kwanza.