Adıyaman
From Wikipedia, the free encyclopedia
Adıyaman (kwa Kizazaki: Semsur) (Perre ya kale au Pordonnium) ni mji uliopo kusini-mashariki mwa nchi ya Uturuki, na pia ni mji mkuu wa Mkoa wa Adıyaman.
Ni mmoja kati ya miji inayokua haraka zaidi katika nchi ya Uturuki. Idadi ya wakazi wa huko inaanzia 100,045 (1990) hadi 178,538 (2000) (kwa mujibu wa sensa zao).