From Wikipedia, the free encyclopedia
Wilibaldi (Wessex, Uingereza, 22 Septemba 700 – Eichstaett, Ujerumani, 7 Julai 787 au 788) alikuwa mmonaki Mbenedikto ambaye, baada ya kuhiji sehemu mbalimbali hadi Nchi takatifu na kustawisha umonaki, alipata umaarufu kwa umisionari wake katika Ujerumani ya leo alipotumwa na Papa Gregori III kumsaidia Bonifasi.
Alikuwa askofu wa kwanza wa Eichstaett, alipoongoa wengi, akafariki huko[1].
Anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu, hasa baada ya kutangazwa na Papa Leo VII (938).
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.