Wasagalla

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wasagalla ni kabila la watu wa jamii ya Wabantu wanaoishi kusini mashariki mwa Kenya, katika milima ya Taita kaunti ya Taita-Taveta.

Lugha yao ni Kisagalla, mojawapo kati ya lugha za Kibantu ambayo inafanana na Kitaita na pia Kichaga.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.