From Wikipedia, the free encyclopedia
Wabaski (kwa Kieuskara euskalduna) ni kabila la watu milioni 2-3 wanaoishi hasa Hispania kaskazini, lakini pia Ufaransa kusini-magharibi, mbali ya wengi waliohamia sehemu nyingine za dunia, hasa Amerika.
Lugha yao si kati ya lugha za Kihindi-Kiulaya.
Kati ya Wabaski maarufu zaidi, kuna mapadri watakatifu Ignas wa Loyola na Fransisko Saveri, waanzilishi wa Shirika la Yesu, na Mikaeli Garicoits, mwanzilishi wa Mapadri na mabradha wa Betharram.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.