Mwandishi wa Kikristo wa karne ya 3 From Wikipedia, the free encyclopedia
Vitorini wa Ptuj (au wa Pettau; kwa Kilatini: Victorinus Petavionensis au Poetovionensis; karne ya 3 - Ptuj, leo nchini Slovenia, 303 hivi) alikuwa askofu wa mji huo hadi kifodini chake [1].
Ingawa alimudu zaidi lugha ya Kigiriki, aliandika vitabu mbalimbali vya ufafanuzi wa Biblia ya Kikristo kwa Kilatini[2] , akiwa wa kwanza kufanya hivyo. Vingi vimepotea[3][4].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[5] na babu wa Kanisa.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.