From Wikipedia, the free encyclopedia
Tunceli (Kizazaki na Kikurdi: Dersim) ni jina la kutaja mji mkuu wa Mkoa wa Tunceli huko nchini Uturuki. Mji wa Tunceli una wakazi takriban 25,041 (sensa ya mwaka 2000) na idadi kubwa ya wakazi wa mjini hapa san-sana ni Wazaza na Wakurdi].
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Tunceli kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.