From Wikipedia, the free encyclopedia
Dola (kutoka Ar. دولة daulat; nchi, serikali, taifa; ing. state) ni utaratibu wa kisiasa wa jamii katika eneo fulani.
Fani mbalimbali huwa na maelezo tofauti kiasi juu ya maana ya dola:
Dola hutokea kwa maumbo mbalimbali kwa mfano jamhuri au ufalme. Dola inaweza kujitegemea kabisa au kuwa sehemu ya shirikisho au muungano kama Muungano wa Madola ya Amerika. Ndani ya maumbo haya kuna njia mbalimbali za kutekeleza mamlaka na kuratibu serikali kwa mfano kwa njia ya demokrasia au udikteta.
Kiini cha dola ni utekelezaji wa mamlaka katika eneo fulani. Hapo kuna chombo kinachoitwa serikali chenye mamlaka haya mkononi. Serikali inaangaliwa na taasisi nyingine.
Katika madola ya kisasa kuna mgawanyo wa madaraka wa dola kwa taasisi mbalimbali:
VYombo vingine ni matawi mbalimbali ya serikali kulingana na katiba ya dola.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.