Shinikizo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Shinikizo

Shinikizo (kwa Kiingereza "pressure"; ishara yake ni p au P. Matumizi ya P au p inategemea tasnia au taaluma. Mapendekezo ya IUPAC ya kuonyesha shinikizo ni herufi 'p' ndogo.[1] Hata hivyo, herufi P kubwa hutumika sana.) ni kani inayotumika kutoka juu moja kwa moja kwenye uso wa kitu kwenye eneo kani hiyo imesambaziwa[2]

Thumb
Shinikizo kutoka migongano ya chembe ndani ya chombo kilichofungwa

Vipimo

Thumb
Safu ya Zebaki.

Vipimo mbalimbali hutumika kuonyesha shinikizo. Baadhi yake hutokana na kipimo cha kani kugawanywa na kipimo cha eneo hilo; kipimo cha SI cha shinikizo, Pascal (Pa), kwa mfano, ni nyutoni moja kwa kila mita ya mraba (N/m2, au kilo·m-1·s-2). Jina la kipimo hiki liliongezewa mwaka 1971;[3] mbeleni, shinikizo katika SI ilionyeshwa kama nyutoni kwa kila mita ya mraba..

Shinikizo inaweza pia kuonyeshwa kama shinikizo la anga la kawaida; anga (atm) ni sawa na shinikizo hili, na torr hufafanuliwa kama 1760 ya hii.

Vipimo manometric kama vile sentimita ya maji, milimita ya zebaki, na inchi ya zebaki hutumika kueleza shinikizo kwa suala la urefu wa safu ya kiowevu fulani katika manometer.

Fomula

Thumb

Kihisabati:

ambapo:

ni shinikizo,
ni ukubwa wa kani ya kawaida,
ni eneo la uso juu ya kugusana.

Inapotumika

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.