From Wikipedia, the free encyclopedia
Palikir imekuwa mji mkuu wa Shirikisho la Mikronesia tangu 1989. Iko kwenye kisiwa cha Pohnpei. Idadi ya wakazi ni mnamo 6,444 (sensa ya 2000). Anwani ya kijiografia ni 6°55'N 158°9'E
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
|
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.