Olusegun Obasanjo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Matthew Olusegun Aremu Obasanjo (alizaliwa 5 Machi 1937) ni jenerali mstaafu wa Jeshi la Nigeria aliyepata kuwa rais wa Nigeria mara mbili. Awamu yake ya kwanza ilikuwa kama rais wa kijeshi kati ya miaka 1976 na 1979, halafu awamu ya pili kama rais aliyechaguliwa na wananchi kati ya miaka 1999 na 2007.

Maisha
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.