Olusegun Obasanjo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Olusegun Obasanjo

Matthew Olusegun Aremu Obasanjo (alizaliwa 5 Machi 1937) ni jenerali mstaafu wa Jeshi la Nigeria aliyepata kuwa rais wa Nigeria mara mbili. Awamu yake ya kwanza ilikuwa kama rais wa kijeshi kati ya miaka 1976 na 1979, halafu awamu ya pili kama rais aliyechaguliwa na wananchi kati ya miaka 1999 na 2007.

Thumb
Obasanjo mwaka 2014.

Maisha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.