From Wikipedia, the free encyclopedia
Mto Kisigo ni mto wa Tanzania ya kati na ni tawimto la Ruaha Mkuu. Mto Kisigo unatokea mkoa wa Singida na kuingia katika Ruaha Mkuu kwenye lambo la Mtera.
Baada ya hapo Ruaha Mkuu unapitia tambarare ya Kilombero hadi kuishia katika mto Rufiji ambao unamwaga maji mengi katika bahari Hindi.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.