Ganga (Kisanskrit गङ्गा, gaṅga) ni mto mkubwa katika Uhindi wa Kaskazini. Mto una uefu wa 2,511 km unapita nchi za Uhindi na Bangla Desh (Asien).

Ukweli wa haraka Mto Ganga (Ganges) ...
Mto Ganga (Ganges)
Thumb
Ramani ya Beseni ya mto Ganga
Chanzo barafuto ya Gangotri
Mdomo Ghuba ya Bengali
Nchi za beseni ya mto India, Bangladesh
Urefu 2,510 km
Kimo cha chanzo 7,756 m
Kiasi cha maji kinachotolewa mdomoni 14,270 m³/s
Eneo la beseni (km²) 907,000 km²
Funga
Thumb
Mjini Varanasi kuna mahekalu mengi kando la mtoni

Chanzo chake ni katika milima ya Himalaya inapokutana mito ya Alaknanda na Bhagirathi. Kutoka hapa inaendelea kuelekea kusini-mashariki hadi tambarare ya Bengali. Nchini Bangla Desh inaunganika na mto Brahmaputra na kuwa na delta kubwa hadi kuingia katika Bahari Hindi.

Ganga na dini

Katika imani ya Uhindu Ganga ni mto mtakatifu. Huabudiwa pia kama mungu wa kike. Wafuasi wa dini ya Uhindu mara nyingi wanajaribu kuhiji mtoni kabla ya kufa wakitumaini ya kwmaba maiti itachomwa na majivu kumwagika mtoni. Kuoga mtoni kunatazamiwa kama bafu ya kuondoa dhambi.


Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ganga (mto) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.