From Wikipedia, the free encyclopedia
Monegunda (alifariki Tours, Ufaransa, 3 Juni 570) alikuwa mwanamke Mkristo ambaye baada ya kuolewa na kuzaa watoto wa kike waliowahi kufariki [1] akawa mkaapweke kwa ruhusa ya mume wake[2].
Kwanza aliishi kwao Chartres, halafu akahamia sehemu za Tours ambako alipata wafuasi hadi ikaanzishwa monasteri[3].
Habari zake zimeandikwa na Gregori wa Tours ambaye alimfahamu.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.