From Wikipedia, the free encyclopedia
Mlima Rungwe ni volkeno iliyozimika ya Tanzania kusini magharibi ikikadiriwa ya kwamba mlipuko wake wa mwisho ulitokea mnamo miaka 2000 hadi 5000 iliyopita.
Ukiwa na kimo cha m 2960 ni mlima mkubwa wa Tanzania ya Kusini.
Mlima unasimama juu ya ncha ya kaskazini ya Ziwa Nyasa. Upande wa kusini-mashariki wa mlima hupokea usimbishaji wa mm 3,000 kwa mwaka ambao ni wa juu kabisa katika Tanzania.
Mazingira ya mlima ni nchi yenye rutuba na kilimo. Rungwe ni eneo la Wanyakyusa.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.