From Wikipedia, the free encyclopedia
Kastamonu ni mkoa uliopo nchini Uturuki. Upo katika Kanda ya Bahari Nyeusi , kaskazini mwa nchi. Umezungukwa na Sinop upande wa mashariki, Bartın na Karabük upande wa magharibi, Çankırı upande wa kusini, Çorum upande wa kusini-mashariki na Bahari Nyeusi upande wa kaskazini.
Mkoa wa Kastamonu | |
---|---|
Maeneo ya Mkoa wa Kastamonu nchini Uturuki | |
Maelezo | |
Kanda: | Kanda ya Bahari Nyeusi |
Eneo: | 13,108 (km²) |
Idadi ya Wakazi | 322,759 TUIK 2007 (est) |
Kodi ya Leseni: | 37 |
Kodi ya eneo: | 0366 |
Tovuti ya Gavana | http://www.kastamonu.gov.tr |
Utabiri wa hali ya hewa | turkeyforecast.com/weather/kastamonu |
Mkoa wa Kastamonu umegawanyika katika wilaya 20 (mji mkuu umekoozeshwa):
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Kastamonu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.