Milima ya Upare

From Wikipedia, the free encyclopedia

Milima ya Upare

Milima ya Upare iko kaskazini mwa Tanzania katika Mkoa wa Kilimanjaro.

Thumb
Milima ya Upare

Inagawanyika katika milima ya Upare Kaskazini na milima ya Upare Kusini.

Kati ya milima yake kuna:

Jina limetokana na kabila la Wapare ambao ndio wenyeji wa eneo hilo.

Kilele cha juu kiko mita 2,463 juu ya usawa wa bahari (Shengena Peak).

Ni sehemu ya milima ya Tao la Mashariki.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.