Mecklenburg-Pomerini Magharibi (Kijerumani: Mecklenburg-Vorpommern) ni moja ya majimbo 16 ya kujitawala ya Ujerumani lenye wakazi milioni 1,652 kwenye eneo la 23.180 km². Mji mkuu ni Schwerin. Waziri mkuu ni Erwin Sellering (SPD).

Thumb
Schloss Schwerin
Thumb
Mecklenburg & Pomerania
Thumb
Mahali pa Mecklenburg-Pomerini katika Ujerumani
Thumb
bendera ya Mecklenburg-Pomerini

Jina

Jimbo hili linaunganisha eneo la Mecklenburg ya kihistoria na sehemu za jimbo la Kijerumani la awali yaani Pomerini zilizobaki upande wa Ujerumani baada ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia ambako maeneo makubwa katika mashariki yalitengwa na Ujerumani na kupelekwa Poland.

Jiografia

Mecklenburg-Pomerini Magharibi imepakana na majimbo ya Ujerumani ya Schleswig-Holstein, Saksonia Chini na Brandenburg.

Miji mikubwa ni pamoja na Schwerin na Rostock.

Elbe na Oder ni mito muhimu zaidi.

Picha za Mecklenburg-Pomerini

Tovuti za Nje

Ukweli wa haraka
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Funga
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mecklenburg-Pomerini Magharibi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Maelezo zaidi Majimbo ya Ujerumani ...
 
Majimbo ya Ujerumani
Baden-Württemberg Bavaria (Bayern) Berlin Brandenburg Bremen Hamburg Hesse (Hessen) Mecklenburg-Pomerini Magharibi (Mecklenburg-Vorpommern) Saksonia Chini (Niedersachsen) Rhine Kaskazini-Westfalia (Nordrhein-Westfalen) Rhine-Palatino (Rheinland-Pfalz) Saar (Saarland) Saksonia (Sachsen) Saksonia-Anhalt (Sachsen-Anhalt) Schleswig-Holstein Thuringia (Thüringen)
Funga

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.