Marmolada

From Wikipedia, the free encyclopedia

Marmolada

Marmolada ni mlima wa Alpi katika nchi ya Italia (Ulaya Kusini).

Thumb
Mlima wa Marmolada

Urefu wake ni mita 3,343 juu ya usawa wa bahari, hivyo unazidi milima yote ya Dolomiti.

Tazama pia

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.