Møre og Romsdal
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Møre og Romsdal ni moja kati ya Majimbo ya Norwei. Jimbo lipo katika moja ya sehemu za kaskazini mwa Magharibi mwa Norwei. Limepakana na jimbo la Sør-Trøndelag, Oppland na Sogn og Fjordane. Makao makuu ya jimbo yapo mjini Molde, wakati Ålesund ina-simama kama jiji kubwa.
Møre og Romsdal jumla imegawanyika katika manispaa 36:
|
|
Makala hii kuhusu maeneo ya Norwei bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Møre og Romsdal kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.