Kinubi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kinubi
Remove ads
Remove ads

Vinubi ni ndege wakubwa kiasi wa jenasi mbalimbali katika familia Corvidae. Kinubi mkia-kahawia huitwa kinubi kwa ufupi pia. Ndege hawa hawana wote mhenga mmoja. Mkia wao ni mrefu kuliko ule wa kunguru. Spishi nyingi ni nyeusi au nyeusi na nyeupe; nyingine zina rangi ya buluu, ya majani au ya kahawa. Wanatokea Amerika ya Kaskazi, Ulaya, Afrika na Asia. Hula nusra kila kitu: wanyama na ndege wadogo, wadudu, mizoga, matunda, nafaka n.k. Hulijenga tago lao kwa vijiti mtini. Jike huyataga mayai 5-10.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Remove ads

Spishi za kabla ya historia

  • Pica mourerae (Mwisho wa Pliocene – mwanzo wa Pleistocene ya Mallorca)

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads