Kihu ni lugha ya Kiaustro-Asiatiki nchini Uchina inayozungumzwa na Wahu. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kihu imehesabiwa kuwa watu 1000. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kihu iko katika kundi la Kipalaungiki. Wengine huiangalia kuwa sawa na lugha ya Kikon-Keu.
- lugha ya Kihu kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kihu
- lugha ya Kihu katika Glottolog
- lugha ya Kihu kwenye Ethnologue
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kihu kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand in your browser!
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.