From Wikipedia, the free encyclopedia
Karabük ni mji uliopo katika eneo la Bahari Nyeusi nchini Uturuki. Huu ni mji mkuu wa Jimbo la Karabük. Kwa mujibu sensa ilifanyika mnamo mwaka wa 2000, idadi ya wakazi wanaoishi katika jiji hili ni 116,804 ambao wengine 100,749 wanaishi katikati ya mji huu wa Karabük.[1][2] Mji unachukua kilomita za mraba zipatazo 760[3].
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.