Kaisari Nero

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kaisari Nero

Kaisari Nero (jina kamili kwa Kilatini: Nero Claudius Caesar Augustus Germanicus[1]: 15 Desemba 37 - 9 Juni 68) alijiua baada ya kutawala Dola la Roma kuanzia tarehe 13 Oktoba 54.

Thumb
Sanamu ya marumaru ya Nero katika Musei Capitolini, Roma, Italia.

Alimfuata Kaisari Klaudio akafuatwa na Kaisari Galba.

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.