Kaisari Nero
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kaisari Nero (jina kamili kwa Kilatini: Nero Claudius Caesar Augustus Germanicus[1]: 15 Desemba 37 - 9 Juni 68) alijiua baada ya kutawala Dola la Roma kuanzia tarehe 13 Oktoba 54.
Alimfuata Kaisari Klaudio akafuatwa na Kaisari Galba.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.