Jeshi la anga

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jeshi la anga

Jeshi la anga ni jeshi linalotumia ndege n.k. Jeshi la anga hutumia ndege hizo kwa ajili ya kusafirisha wanajeshi na mabomu kama sehemu wanayokwenda kushambulia ni mbali sana na walipo.

Thumb
Hii ni ndege ya vita inayojulikana kama Jeshi la anga

Kazi ya jeshi la anga

  • Kulinda anga la nchi dhidi ya maadui wakati wa vita.
  • Kushambulia nchi ya maadui wakati wa vita.

Majeshi ya anga huwa na sare tofauti na majeshi mengine.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.