Jangalo
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mrijo ni kata ya Wilaya ya Chemba katika Mkoa wa Dodoma, Tanzania, yenye postikodi namba 41816[1].
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 21,713 [2]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 13,104 [3] waishio humo.
Asilimia kubwa za wakazi wa kata ya Jangalo ni Warangi.
Baadhi ya vijiji vya kata ya Jangalo vyenye shule ya msingi ni Jangalo yenyewe, Jinjo, Itolwa na Churuku.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.