Tasnia (kutoka Kiarabu: تصنيع, kwa Kiingereza: industry, manufacturing) ni neno la kutaja matawi mbalimbali ya uchumi wa nchi ambako bidhaa zinatengenezwa au huduma kutolewa.

Thumb
Tasnia


Kiasili tasnia ilimaanisha hasa shughuli ambako watu wanashirikiana kuzalisha bidhaa wakibadilisha malighafi kuwa vitu vinavyotumika na binadamu, kwa hiyo shughuli za sekta ya pili ya uchumi pamoja na sekta ya viwanda.

Matumizi ya istilahi imepanuka kufuatana na Kiingereza "industry"[1] kumaanisha pia utoaji wa malighafi (sekta ya msingi) na huduma (sekta ya tatu ya uchumi).

Tasnia ya kisasa hutegemea mgawanyo wa kazi na usanifishaji wa kazi.

Marejeo

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.